Baada ya kufunga mabao mawili kwenye mechi yake kwanza msimu huu, winga wa Azam FC, Joseph Kimwaga, ameweka wazi kuwa atahakikisha anakuwa vizuri zaidi.
Baada ya kufunga mabao mawili kwenye mechi yake kwanza msimu huu, winga wa Azam FC, Joseph Kimwaga, ameweka wazi kuwa atahakikisha anakuwa vizuri zaidi.
Mara baada ya kurejea uwanjani kutoka kwenye kuwa majeruhi kwa muda mrefu, hatimaye kiungo wa Simba, Haruna Niyonzima amefunguka mambo mbalimbali juu ya kuugua kwake na hatimaye kurejea, bonyeza video kutazama mahojiano kamili aliyofanya na Shuti Kali TV:
Mara baada ya kuonyesha kiwango cha juu katika michuano ya kimataifa, kukaibuka taarifa kuwa mshambuliaji wa timu ya Simba Emmanuel Okwi anaweza kusajiliwa na timu za Uarabuni.
Ikiwa ni miezi michache imepita tangu walipoufanyia marekebisho ya kuutanua uwanja wao, Klabu ya Liverpool imeanza mchakato wa kuutanua zaidi uwanja huo wa Anfield.
Yanga inalingana pointi na Simba katika msimamo wa Ligi Kuu ya Vodacom lakini Simba ipo juu kileleni kutokana na wastani mzuri wa mabao ya kufunga na kufungwa.